Most Recent

HOW TO MAKE S3XY LONGER..READ HERE




                                                                                                                  less, leaving their female partners 0rgasmless. Here are some ways to extend your man's s3xual stamina, and more likely have an orgasm yourself in the process.
1. Have him masturb4te beforehand. If you've seen There's Something About Mary, you know that having s3x without mAsturbat1ng is "like going out there with a loaded gun." Ejaculting an hour or two beforehand makes it harder for a man to come quickly. As Dr. Jane Greer, relationship expert and family therapist, puts it, "You can build up arousal again with slow and intimate foreplay with your partner, so the gAy's excitement is initially satisfied and he can better pace himself and sync up with his partner's rhythm."

Unknown Sunday, August 21, 2016
KUNA WAKATI HISIA HUPENDA MSISIMKO HUPOTEA...HIZI NDIZO SABABU ZINAZOSABABISHA...
Kuna Wakati Hisia Za Kupenda,Msisimko Hupotea?
Sababu Zinazotajwa Kuhusika Ni.

Anahisi Havutii Sana.Mara Nyng Waschana Wakiachwa Hujihisi Kwamba Hawana Mvuto Sana.Anahsi Hata Kama Akikupenda Akitokea Mwenye MvutoZaidi Yake Utamtosa Kama Alivyofanya Aliyepita.

Huogopa Ugonjwa Wa Moyo.Inawezekana Ameshaumizwa Sana Uko Alikotoka Na KilaAnapokuangalia Anahisi Kuteswa Tena Na Hvyo Anaogopa Tena Kupata Ugonjwa Wa Moyo.Ana Mashaka,Hana Amani Na Mapenz Tena.

Ana MawazoKwana Yawewekana Na Wewe Ni Sawa Na Mpnz Wake Aliyepita.Lkn Kubwa Zaidi Ni Mtu Akiwa Ktk Athari Anawaona Wote Ni Walewale.

Unknown
MSINILAUMU KWA UWAMUZI HUU NILIYOCHUKUA KWA MUME WANGU.....



Mimi nimeolewa miaka 15 sasa na tumejaaliwa watoto 4. Ndoa yetu ilipofikisha miaka 4-5 mume wangu alicheat, nikamkamata through sms akapinga sn lakini baadae alikubali akakiri kosa na kuomba msamaha. nikamsamehe

Tumeendeleakuishi na nilipopata mtoto wa tatu akanicheat tena, safari hii alikuwa nje ya nchi kimasomo, napo alikiri na kuomba msamaha, nikamsamehe

wakati niko mjamzito mimba ya mtoto wa nne alinicheat tena, kibaya zaidi alinicheat na house girl wng akampa ujauzito. kwa ivo wkt mimi nina mimba na House girl naye mjamzito(japo sikujua km house girl alikuwa mjamzito kwani aliondoka nyumbani) niligundua baadae kuwa mtt wa aliyekuwa house Girl wangu ni wa mume wangu

kama kawaida yake akaomba msamaha safari hii hadi kupiga goti na kulia ili nimsamehe...na mimi kwa kuwa bado nampenda na nimemvumilia kwa mengi nikaamua kumsamehe tena..ila tulikubailana masharti mengi na akakubali masharti yote niliyompa..mwanzoni alibehave vizuri sn akawa muwazi kwng hanifichi chochote kuhusu huyo mtt.. na tuliishi maisha ya furaha kwn alinijali mno na alionekana kweli amerigrate.
sasa cha kushangaza siku za karibuni amebadilika san, amekuwa msiri na hasemi chochote kuhusu huyo mtt wa nje..siku hizi anatuma hela kwa siri na pia anawasiliana na huyo mama wa mtoto kwa siri haniambii chochote..

nilipoona mabadiliko niliamua kumuuliza imekuwaje tena mbona siri tena wkt tulikubaliana kila kitu kiwe open? hakunijibu isipokuwa alikuwa mkali na kufoka na kusema hilo swala tumeshamalizana nalo sitaki kulisikiasikia tena..

nikajaribu tena siku nyingine kumuuliza na majibu ndio hayo hayo, kwa kifupi hataki na anakwepa kuzungumzia hilo suala kabisa...sasa najiuliza kwa nini anafanya siri? km hakuna jambo lolote baya basi anaficha nini? ina maana kuna kitu zaidi ya mtoto.

Unknown